Viungo:
- Maharagwe
- Krimu ya nazi
- Kitunguu
- Nyanya
- Chumvi
- Pilipili
- Mafuta ya maji
Kuandaa:
- Chemsha maharagwe hadi iive.
- Weka mafuta ya maji kwa moto, kisha kakaanga kitunguu hadi kiwe rangi ya kahawia.
- Weka nyanya na ukaange hadi iive kisha ongeza chumvi.
- Ongeza krimu ya nazi na ukoroge hadi kila kitu kichanganyikane.
- Weka maharagwe na ukoroge.
- Ongeza pilipili na ukoroge.
- Ongeza maji kidogo na upike kwa moto wa chini kwa dakika kumi.
No comments:
Post a Comment