Thursday, 13 October 2011

Samaki wa Mchuzi

Viungo:
  1. Minofu ya Samaki
  2. Kitunguu
  3. Kitunguu Saumu
  4. Curry poda
  5. Nyanya
  6. Nyanya ya mkebe
  7. Mafuta ya maji
  8. Maji ya Limau
  9. Chumvi
  10. Dhania
Kuandaa:
  1. Oka minofu ya samaki mpaka igeuke rangi ya kahawia.
  2. Epua kutoka kwa mafuta na uweke kando.
  3. Kaanga kitunguu kwa mafuta ya maji, kisha ongeza kitungu saumu na curry poda
  4. Punguza moto na ukoroge hadi kila kitu kichanganyikane.
  5. Ongeza nyanya, nyanya ya mkebe, chumvi  na dhania. Kisha koroga. Pika kwa dakika moja.
  6. Ongeza samaki na maji ya limau. Pika kwa mda wa dakika kumi kwa moto wa chini.
Pakua na wali au Ugali.



No comments:

Post a Comment