Wednesday, 11 April 2012

Githeri

Viungo:
  1. Mahindi
  2. Maharagwe
  3. Kitunguu
  4. Nyanya
  5. Kitunguu Saumu
  6. Chumvi
  7. Mafuta ya maji
Kuandaa:
  1. Chemsha mahindi na maharagwe pamoja hadi iwe laini.
  2. Kakaanga kitunguu kwa mafuta ya maji kwa sufuria ingine.
  3. Ongeza nyanya na uwache hadi iive, kisha ongeza kitunguu saumu na uwache iive.
  4. Ongeza chumvi na kisha ongeza maharagwe na mahindi uliyochemsha.
  5. Wacha iive kidogo kisha epua kutoka kwa moto.
Pakua na sukuma wiki ikliyokaangwa.

No comments:

Post a Comment