Wednesday, 11 April 2012

Mukimo

Viungo:
  1. Mahindi changa
  2. Majani ya pumpkin (au kijani mbaazi {green peas})
  3. Viazi
  4. Mafuta ya  maji
  5. Chumvi
Kuandaa:
  1. Chemsha changa hadi iwe laini.
  2. Ongeza viazi vilivyoshambuliwa na majani ya pumpkin lakini usichanganye.
  3. Ongeza chumvi.
  4. Wacha ichemke kwa dakika 30-45 bila kuchanganya.
  5. Ikishaiva, mwaga maji iliyobaki halafu ponda ponda na uhakikishe imepondeka kabisa na imechanganyikana kabisa.
  6. Ongeza mafuta kisha uchanganye.
Pakua na mchuzi wa nyama au kuku.

No comments:

Post a Comment