Wednesday, 11 April 2012

Pilipili ya Kukaanga

Viungo:
  1. Vitunguu
  2. Nyanya
  3. Kitungu Saumu
  4. Masala
  5. Mafuta ya maji 
  6. Tomato ya mkebe
  7. Maji ya limau
Kuandaa:
  1.  Weka mafuta ya maji kwa kikaangio, kisha ongeza vitunguu wacha iive hadi ikuwe rangi ya udhurungi.
  2. Ongeza nyanya, wacha iive. Kisha ongeza kitunguu saumu na uwache iive.
  3. Ongeza tomato ya mkebe na masala. Punguza moto na uwache iive kwa moto wa chini.
  4. Ongeza maji ya limau, wacha iive kwa moto wa chini.
  5. Epua kutoka kwa moto.
Pakua na chakula chochote.

1 comment:

  1. Nahisi njaa sasa. This is interesting and I must try

    ReplyDelete